ترجمة معاني سورة الواقعة باللغة السواحلية من كتاب Ali Muhsin Al - Swahili translation

Ali Muhsin Al - Swahili translation

آية رقم 10

Na wa mbele watakuwa mbele.
آية رقم 11

Hao ndio watakao karibishwa
آية رقم 15

Watakuwa juu ya viti vya fakhari vilivyo tonewa.
آية رقم 18

Kwa vikombe na mabirika na bilauri za vinywaji kutoka chemchem safi.
آية رقم 23

Walio kama mfano wa lulu zilio hifadhiwa.
آية رقم 29

Na migomba iliyo pangiliwa,
آية رقم 34

Na matandiko yaliyo nyanyuliwa.
آية رقم 35

Hakika Sisi tutawaumba (Mahurulaini) upya,
آية رقم 37

Wanapendana na waume zao, hirimu moja.
آية رقم 38

Kwa ajili ya watu wa kuliani.
آية رقم 42

Katika upepo wa moto, na maji yanayo chemka,
آية رقم 55

Tena mtakunywa kama wanavyo kunywa ngamia wenye kiu.
آية رقم 58

Je! Mnaiona mbegu ya uzazi mnayo idondokeza?
آية رقم 66

Mkisema: Hakika sisi tumegharimika;
آية رقم 73

Sisi tumeufanya uwe ni ukumbusho na manufaa kwa walioko nyikani.
آية رقم 76

Na hakika bila ya shaka hichi ni kiapo kikubwa, laiti mngeli jua!
آية رقم 77

Hakika hii bila ya shaka ni Qur'ani Tukufu,
آية رقم 80

Ni uteremsho unao toka kwa Mola Mlezi wa walimwengu wote.
آية رقم 82

Na badala ya kushukuru kwa riziki yenu mnafanya kuwa mnakadhibisha?
آية رقم 87

Kwanini hamuirudishi hiyo roho, ikiwa nyinyi mnasema kweli?
آية رقم 89

Basi ni raha, na manukato, na Bustani zenye neema.
آية رقم 91

Basi ni Salamu kwako uliye miongoni mwa watu wa upande wa kulia.
آية رقم 93

Basi karamu yake ni maji yanayo chemka,
آية رقم 96

Basi litakase jina la Mola wako Mlezi aliye Mkubwa.
تقدم القراءة