ترجمة معاني سورة الغاشية باللغة السواحلية من كتاب Ali Muhsin Al - Swahili translation

Ali Muhsin Al - Swahili translation

آية رقم 1

Al-Ghashiyah


Je! Imekufikia khabari ya msiba wa kufudikiza?
آية رقم 3

Zikifanya kazi, nazo taabani.
آية رقم 8

Siku hiyo nyuso nyengine zitakuwa kunjufu.
آية رقم 9

Zitakuwa radhi kwa juhudi yao,
آية رقم 16

Na mazulia yaliyo tandikwa.
آية رقم 24

Basi Mwenyezi Mungu atamuadhibu kwa adhabu iliyo kubwa kabisa!
آية رقم 25

Hakika ni kwetu Sisi ndio marejeo yao.
تقدم القراءة