ترجمة معاني سورة ق باللغة السواحلية من كتاب Ali Muhsin Al - Swahili translation

Ali Muhsin Al - Swahili translation

آية رقم 8

Yawe haya ni kifumbua macho na ukumbusho kwa kila mja mwenye kuelekea.

Ili iwe ni riziki kwa waja wangu. Na tukaifufua kwa maji nchi iliyo kuwa imekufa. Kama hivyo ndivyo utakavyo kuwa ufufuaji.
آية رقم 25

Akatazaye kheri, arukaye mipaka, mwenye kutia shaka,
آية رقم 31

Na Pepo italetwa karibu kwa ajili ya wachamngu, haitakuwa mbali.
آية رقم 32

Haya ndiyo mnayo ahidiwa kwa kila mwenye kurejea kwa Mwenyezi Mungu na akajilinda.
تقدم القراءة