ترجمة معاني سورة قريش باللغة السواحلية من كتاب Ali Muhsin Al - Swahili translation . ﰡ ﭑﭒ ﰀ KuraishKwa walivyo zoea Maqureshi, ﭔﭕﭖﭗ ﰁ Kuzoea kwao safari za siku za baridi na siku za joto. ﭙﭚﭛﭜ ﰂ Basi nawamuabudu Mola Mlezi wa Nyumba hii, ﭞﭟﭠﭡﭢﭣﭤ ﰃ Ambaye anawalisha wasipate njaa, na anawalinda na khofu.