قَالَ رَبِّ ٱنصُرۡنِي عَلَى ٱلۡقَوۡمِ ٱلۡمُفۡسِدِينَ
Akasema: Ewe Mola wangu Mlezi! Ninusuru na watu mafisadi hawa!
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Akasema, «Mola wangu! Nipe ushindi juu ya watu waharibifu kwa kuwateremshia adhabu, kwa kuwa wameuzua uchafu huu na wameendelea nao» Na Mwenyezi Mungu Akaikubali dua yake.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس