أُوْلَـٰٓئِكَ هُمُ ٱلۡكَٰفِرُونَ حَقّٗاۚ وَأَعۡتَدۡنَا لِلۡكَٰفِرِينَ عَذَابٗا مُّهِينٗا
Hao ndio makafiri kweli. Na tumewaandalia makafiri adhabu ya kudhalilisha.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Hao ndio wenye ukafiri wa hakika usiokuwa na shaka. Na tumewaandalia makafiri adhabu itakayowadhili na kuwatweza.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس