أَمۡ يَقُولُونَ نَحۡنُ جَمِيعٞ مُّنتَصِرٞ
Au ndio wanasema: Sisi ni wengi tutashinda tu.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Au kwani wanasema makafiri wa Makkah, «Sisi ndio wenye ushupavu na busara, na jambo letu ni la pamoja. Sisi ni watu wa ushindi, na hatatushinda anayetutaka kwa ubaya.?»
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس