ٱلسَّمَآءُ مُنفَطِرُۢ بِهِۦۚ كَانَ وَعۡدُهُۥ مَفۡعُولًا
Hapo mbingu zitapasuka! Ahadi yake itakuwa imetekelezwa.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Mbingu zitakuwa na pasuko Siku hiyo, kwa ukubwa wa janga lake, hakika ahadi ya Mwenyezi Mungu, Aliyetukuka, ya kuwa Siku hiyo itakuja ni yenye kutukia bila shaka.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس