وَجَزَىٰهُم بِمَا صَبَرُواْ جَنَّةٗ وَحَرِيرٗا
Na atawajazi Bustani za Peponi na maguo ya hariri kwa vile walivyo subiri.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
na Atawalipa, kwa kuvumilia kwao duniani juu ya utiifu, Pepo iliyo kubwa ambayo kutoka humo watakula wanachokitaka na watavaa humo hariri nyororo,
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس