قُلۡ إِنَّ ٱلَّذِينَ يَفۡتَرُونَ عَلَى ٱللَّهِ ٱلۡكَذِبَ لَا يُفۡلِحُونَ
Sema: Hao wanao mzulia uwongo Mwenyezi Mungu hawatafanikiwa.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Sema, «Hakika wale ambao wanamzulia Mwenyezi Mungu urongo, kuwa Amejifanyia mwana na kumuengezea mshirika, hawatapata matakwa yao ulimenguni wala Akhera.»
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس