أُوْلَـٰٓئِكَ مَأۡوَىٰهُمُ ٱلنَّارُ بِمَا كَانُواْ يَكۡسِبُونَ
Hao, makaazi yao ni Motoni kwa sababu ya waliyo kuwa wakiyachuma.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Hao makao yao ni Moto wa Jahanamu huko Akhera, yakiwa ni malipo kwa yale ambayo wao walikuwa wakiyatenda katika ulimwengu wao ya madhambi na hatia.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس