وَٱلَّذِينَ ءَامَنُواْ وَعَمِلُواْ ٱلصَّـٰلِحَٰتِ لَنُدۡخِلَنَّهُمۡ فِي ٱلصَّـٰلِحِينَ
Na walio amini na wakatenda mema, bila ya shaka tutawatia miongoni mwa watu wema.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Na wale waliomuamini Mwenyezi Mungu na Mtume wakafanya matendo mema, tutawatia Peponi wakiwa ni katika jumla ya waja wa Mwenyezi Mungu wema.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس