إِنَّا كُلَّ شَيۡءٍ خَلَقۡنَٰهُ بِقَدَرٖ
Kwa hakika Sisi tumekiumba kila kitu kwa kipimo.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Hakika sisi kila kitu tumekiumba kwa kipimo tulichokikadiri na kukipitisha, na ilitangulia elimu yetu ya kukijua kitu hiko na kukiandika kwenye Ubao Uliohifadhiwa.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس