وَكُلُّ شَيۡءٖ فَعَلُوهُ فِي ٱلزُّبُرِ
Na kila jambo walilo lifanya limo vitabuni.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Na kila kitu walichokifanya wale wanaofanana na nyinyi waliopita, cha kheri au cha shari, kimeandikwa kwenye Vitabu ambavyo Malaika watunzi wenye kudhibiti waliviandika.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس