ترجمة سورة الفيل

Ali Muhsin Al - Swahili translation
ترجمة معاني سورة الفيل باللغة السواحلية من كتاب Ali Muhsin Al - Swahili translation .

Al-Fil


Kwani hukuona jinsi Mola wako Mlezi alivyo watenda wale wenye tembo?

Kwani hakujaalia vitimbi vyao kuharibika?

Na akawapelekea ndege makundi kwa makundi,

Wakiwatupia mawe ya udongo wa Motoni,

Akawafanya kama majani yaliyo liwa!
Icon