ترجمة معاني سورة الفيل باللغة السواحلية من كتاب Ali Muhsin Al - Swahili translation
ﰡ
آية رقم 1
Al-Fil
Kwani hukuona jinsi Mola wako Mlezi alivyo watenda wale wenye tembo?
آية رقم 2
ﮕﮖﮗﮘﮙ
ﮚ
Kwani hakujaalia vitimbi vyao kuharibika?
آية رقم 3
ﮛﮜﮝﮞ
ﮟ
Na akawapelekea ndege makundi kwa makundi,
آية رقم 4
ﮠﮡﮢﮣ
ﮤ
Wakiwatupia mawe ya udongo wa Motoni,
آية رقم 5
ﮥﮦﮧ
ﮨ
Akawafanya kama majani yaliyo liwa!
تقدم القراءة