ٱلَّذِينَ ءَامَنُواْ وَكَانُواْ يَتَّقُونَ
Hao ni ambao wameamini na wakawa wanamcha Mungu.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Sifa za Mawalii hawa ni kwamba wao wamemuamini Mwenyezi Mungu na wamemfuata Mtume Wake na yale ambayo alikuja nayo kutoka kwa Mwenyezi Mungu na kwamba wao wanamcha Mwenyezi Mungu kwa kuzifuata amri Zake na kuyaepuka matendo ya kumuasi.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس