Yusuf
الٓرۚ تِلۡكَ ءَايَٰتُ ٱلۡكِتَٰبِ ٱلۡمُبِينِ
Alif Lam Raa. Hizi ni Aya za Kitabu kinacho bainisha.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Alif, Lām, Rā’. Maneno yametangulia juu ya herufi zilizokatwa na kutengwa mwanzo wa sura ya Al-Baqrah. Hizi ni aya za Kitabu kilichobainika kilicho wazi katika maana yake, mahalalisho yake, maharamisho yake na uongofu wake.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس