وَعَرَضۡنَا جَهَنَّمَ يَوۡمَئِذٖ لِّلۡكَٰفِرِينَ عَرۡضًا
Na siku hiyo tutawadhihirishia wazi Jahannamu makafiri waione.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Na tutauhudhurisha moto wa Jahanamu kwa makafiri na tutaudhihirisha kwao waushuhudie, ili tuwaoneshe ubaya wa mwisho wao.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس