وَلَقَد تَّرَكۡنَا مِنۡهَآ ءَايَةَۢ بَيِّنَةٗ لِّقَوۡمٖ يَعۡقِلُونَ
Na tumeacha katika mji huo Ishara ilio wazi kwa watu wanao tumia akili zao.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Na tulizibakisha, katika nyumba za watu wa Lūṭ, athari zilizo wazi kwa watu wanaoelewa mambo ya kuwapa mazingatio na kunufaika kwayo.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس