مَّنَّاعٖ لِّلۡخَيۡرِ مُعۡتَدٖ مُّرِيبٍ
Akatazaye kheri, arukaye mipaka, mwenye kutia shaka,
Ali Muhsin Al - Swahili translation
mwenye kuzuia kutekeleza haki zilizo juu yake katika mali yake, anaye wadhulumu waja wa Mwenyezi Mungu na kukiuka mipaka Yake, anayelifanyia shaka agizo la Mwenyezi Mungu na onyo Lake,
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس