أَلَّا تَزِرُ وَازِرَةٞ وِزۡرَ أُخۡرَىٰ
Ya kwamba hakika nafsi iliyo beba madhambi haibebi madhambi ya mwengine?
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Kwamba haipatilizwi nafsi yoyote kwa kosa la nafsi nyingine, na mzigo wake hakuna yoyote atakayembebea.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس