هَٰذَا نَذِيرٞ مِّنَ ٱلنُّذُرِ ٱلۡأُولَىٰٓ
Hili ni Onyo katika maonyo yale yale ya zamani.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Huyu Muhammad, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie, ni mwonyaji wa haki ambayo kwayo walionya Manabii kabla yake, si kitu kipya katika Mitume.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس