وَمَا نُؤَخِّرُهُۥٓ إِلَّا لِأَجَلٖ مَّعۡدُودٖ
Na Sisi hatuiakhirishi ila kwa muda unao hisabiwa.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Na hatuicheleweshi Siku ya Kiyama isipokuwa ni ukome muda uliyohesabiwa uliyo kwenye elimu yetu, hauzidi wala haupungui na kipimo chetu tulichoupimia kwa hekima yetu.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس