إِذۡ يَتَلَقَّى ٱلۡمُتَلَقِّيَانِ عَنِ ٱلۡيَمِينِ وَعَنِ ٱلشِّمَالِ قَعِيدٞ
Wanapo pokea wapokeaji wawili, wanao kaa kuliani na kushotoni.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Pindi Malaika wawili wanaotunza, kuliani kwake na kushotoni kwake, wanapoyaandika matendo Yake: aliye kuliani anaandika mema na aliye kushotoni anaandika maovu.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس