وَمَآ أَدۡرَىٰكَ مَا ٱلۡحَآقَّةُ
Na nini kitakujuulisha nini hilo Tukio la haki?
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Na kitu gani kilichokujulisha wewe, ewe Mtume, na kukueleza uhakika wa Kiyama na kikakupa wewe picha ya janga lake na shida zake?
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس