وَإِنَّهُۥ لَتَذۡكِرَةٞ لِّلۡمُتَّقِينَ
Kwa hakika hii ni mawaidha kwa wachamngu.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Na hii Qur’ani ni mawaidha kwa wachamungu wanaofuata amri za Mwenyezi Mungu na kuyaepuka makatazo yake.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس