كِتَٰبٞ مَّرۡقُومٞ
Kitabu kilicho andikwa.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Hakika hiyo itakuwa ni jela ya kudumu na adhabu iliyo na uchungu. Penye jela hiyo ni pale walipoandikiwa kuwa watakwenda. Wameandikiwa na imepitishwa. Hapana kitakachozidishwa wala kupunguzwa.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس