وَأَنَّهُۥ هُوَ أَغۡنَىٰ وَأَقۡنَىٰ
Na kwamba ni Yeye ndiye anaye tosheleza na kukinaisha.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Na Yeye Ndiye Anayewatajirisha Anaowataka miongoni mwa viumbe Wake kwa mali, na Ndiye Anayewamilikisha na kuwaridhisha nayo.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس