ترجمة معاني سورة العصر باللغة السواحلية من كتاب Ali Muhsin Al - Swahili translation
ﰡ
آية رقم 1
ﭑ
ﭒ
Al'asri
Naapa kwa Zama!
آية رقم 2
ﭓﭔﭕﭖ
ﭗ
Hakika binaadamu bila ya shaka yumo katika khasara,
آية رقم 3
Ila wale walio amini, na wakatenda mema, na wakausiana kwa haki, na wakausiana kusubiri.
تقدم القراءة