ترجمة معاني سورة النصر باللغة السواحلية من كتاب Ali Muhsin Al - Swahili translation
ﰡ
آية رقم 1
ﭱﭲﭳﭴﭵ
ﭶ
An-Nasr
Itakapo kuja nusura ya Mwenyezi Mungu na ushindi,
آية رقم 2
Na ukaona watu wanaingia katika Dini ya Mwenyezi Mungu kwa makundi,
آية رقم 3
Zitakase sifa za Mola wako Mlezi, na umwombe msamaha; hakika Yeye ndiye anaye pokea toba.
تقدم القراءة