ترجمة معاني سورة النصر
باللغة السواحلية من كتاب Ali Muhsin Al - Swahili translation
.
ﰡ
An-Nasr
Itakapo kuja nusura ya Mwenyezi Mungu na ushindi,
Na ukaona watu wanaingia katika Dini ya Mwenyezi Mungu kwa makundi,
Zitakase sifa za Mola wako Mlezi, na umwombe msamaha; hakika Yeye ndiye anaye pokea toba.