أَءِذَا مِتۡنَا وَكُنَّا تُرَابٗاۖ ذَٰلِكَ رَجۡعُۢ بَعِيدٞ
Ati tukifa na tukawa udongo...? Kurejea huko kuko mbali!
Ali Muhsin Al - Swahili translation
«Je, tunapokufa na tukawa mchanga, itawezekana vipi kurejea baada ya hapo tukawa kama tulivyokuwa? Hayo ni marajeo ambayo kutukia kwake kuko mbali.»
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس