أَوۡ تَكُونَ لَكَ جَنَّةٞ مِّن نَّخِيلٖ وَعِنَبٖ فَتُفَجِّرَ ٱلۡأَنۡهَٰرَ خِلَٰلَهَا تَفۡجِيرًا
Au uwe na kitalu cha mitende na mizabibu, na utupitishie mito kati yake ikimiminika.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
«Au uwe na shamba lenye aina za mitende na mizabibu, na uifanye mito ni yenye kupita kati yake kwa wingi.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس