إِنَّ ٱلۡمُجۡرِمِينَ فِي عَذَابِ جَهَنَّمَ خَٰلِدُونَ
Kwa hakika wakosefu watakaa katika adhabu ya Jahannamu.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Hakika ya wale waliochuma dhambi kwa ukanushaji wao, ni wenye kukaa ndani ya adhabu ya Jahanamu.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس