قَالُوٓاْ إِنَّا كُنَّا قَبۡلُ فِيٓ أَهۡلِنَا مُشۡفِقِينَ
Waseme: Tulikuwa zamani pamoja na ahali zetu tukiogopa;
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Watasema, «Sisi tulikuwa kabla, huko duniani, na sisi tuko baina ya watu wetu, tunamuogopa Mola wetu, tuna hadhari na adhabu Yake na mateso yake Siku ya Kiyama.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس