إِذۡ يَغۡشَى ٱلسِّدۡرَةَ مَا يَغۡشَىٰ
Kilipo ufunika huo Mkunazi hicho kilicho ufunuika.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Pindi huo Mkunazi ulipofinikwa kutokana na amri ya Mwenyezi Mungu na kitu kikubwa hakuna ajuaye sifa zake isipokuwa Mwenyezi Mungu, Aliyeshinda na kutukuka.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس