سورة الشرح

الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس

ترجمة معاني سورة الشرح باللغة السواحلية من كتاب الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس

الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس

آية رقم 1
Kwani Hatukukunjulia, ewe Mtume, kifua chako kwa sheria za Dini, kulingania watu kwa Mwenyezi Mungu na kujipamba kwa tabia nzuri,
آية رقم 2
Tukakuondolea mazito yako yaliyoemea mgongo wako
آية رقم 3
na Tukakuweka, kwa matukufu Tuliyokuneemesha,
آية رقم 5
Usirudi nyuma katika kueneza ujumbe uliotumwa nao kwa makero ya maadui zako. Kwani kwenye dhiki kuna faraji.
آية رقم 7
Basi utakapomaliza mambo ya kidunia na shughuli zake jipinde kwa kufanya ibada.
آية رقم 8
Na kwa Mola wako Peke Yake weka matumaini yako.
تقدم القراءة