أَمۡ أَبۡرَمُوٓاْ أَمۡرٗا فَإِنَّا مُبۡرِمُونَ
Au waliweza kupitisha amri yao? Bali ni Sisi ndio tunao pitisha.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Je, kwani hawa washirikina wamepanga mambo madhubuti ya kuichimba haki tuliyowaletea? Sisi tunawapangia adhabu na mateso.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس