عُذۡرًا أَوۡ نُذۡرًا
Kwa kuudhuru au kuonya,
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Na kwa Malaika wanaoupokea wahyi kutoka kwa Mwenyezi Mungu na kuuteremsha kwa Manabii Wake, unaowapa viumbe wake udhuru kutoka kwa Mwenyezi Mungu na pia onyo kutoka Kwake, ili watu wasiwe na hoja.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس