وَٱصۡبِرۡ فَإِنَّ ٱللَّهَ لَا يُضِيعُ أَجۡرَ ٱلۡمُحۡسِنِينَ
Na subiri, kwani Mwenyezi Mungu hapotezi ujira wa wanao fanya wema.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Na usubiri, ew Nabii, juu ya hiyo Swala na juu ya makero unayoyakuta kutoka kwa washirina wa watu wako, kwani Mwenyezi Mungu Hapotezi malipo ya walio wema katika matendo yao.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس