لَا جَرَمَ أَنَّهُمۡ فِي ٱلۡأٓخِرَةِ هُمُ ٱلۡخَٰسِرُونَ
Hapana shaka ya kwamba hao ndio wenye kukhasiri Akhera.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Ni kweli kabisa kwamba wao, huko Akhera, ndio wenye hasara wenye kuangamia, waliotumia maisha yao kwa mambo yaliyopelekea kuadhibiwa na kuangamizwa.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس