كُلُّ ذَٰلِكَ كَانَ سَيِّئُهُۥ عِندَ رَبِّكَ مَكۡرُوهٗا
Haya yote ubaya wake ni wenye kuchukiza kwa Mola wako Mlezi.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Yote yaliyotangulia kutajwa, ya maamrisho na makatazo, Mwenyezi Mungu Anayachukia mabaya yake na hayaridhii kwa waja wake.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس