فِيهَا فَٰكِهَةٞ وَٱلنَّخۡلُ ذَاتُ ٱلۡأَكۡمَامِ
Humo yamo matunda na mitende yenye mafumba.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Humo mna matunda na mitende yenye makarara ya matunda. Na humo kuna nafaka zenye maganda, vikiwa ni chakula chenu na wanyama wenu.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس