وَلَهُ ٱلۡجَوَارِ ٱلۡمُنشَـَٔاتُ فِي ٱلۡبَحۡرِ كَٱلۡأَعۡلَٰمِ
Na ni vyake Yeye hivi viendavyo baharini vilivyo undwa kama vilima.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Ni Yake Yeye, Aliyetakasika na kutukuka, mamlaka ya kuyaendesha majahazi makubwa yanayotembea baharini kwa manufaa ya watu, yenye kusimamisha juu milongoti yake na matanga yake kama vile majabali.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس