وَأَنَّ ٱلَّذِينَ لَا يُؤۡمِنُونَ بِٱلۡأٓخِرَةِ أَعۡتَدۡنَا لَهُمۡ عَذَابًا أَلِيمٗا
Na yakwamba wale wasio iamini Akhera tumewaandalia adhabu chungu.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
na kwamba wale ambao hawaamini Nyumba ya Akhera na malipo yaliyoko huko, tumewatayarishia adhabu yenye kuumiza ndani ya Moto.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس