فَمَا بَكَتۡ عَلَيۡهِمُ ٱلسَّمَآءُ وَٱلۡأَرۡضُ وَمَا كَانُواْ مُنظَرِينَ
La mbingu wala ardhi hazikuwalilia, wala hawakupewa muhula.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Mbingu na ardhi hazikulia kwa kumsikitikia Fir’awn na watu wake, na hawakuwa ni wenye kucheleshewa adhabu iliyowashukia.
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس