رَبُّ ٱلۡمَشۡرِقَيۡنِ وَرَبُّ ٱلۡمَغۡرِبَيۡنِ
Mola Mlezi wa mashariki mbili na wa magharibi mbili.
Ali Muhsin Al - Swahili translation
Mola wa pande mbili za Mashariki ya jua, katika kusi na kaskazi, na Mola wa pande mbili za Magharibi ya jua, katika kusi na kaskazi, kwani vyote viko chini ya uendeshaji Wake na ulezi Wake..
الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس