ترجمة معاني سورة العاديات باللغة السواحلية من كتاب Ali Muhsin Al - Swahili translation

Ali Muhsin Al - Swahili translation

آية رقم 1

Al-Adiyat


Naapa kwa farasi wendao mbio wakipumua,
آية رقم 2

Na wakitoa moto kwa kupiga kwato zao chini,
آية رقم 3

Wakishambulia wakati wa asubuhi,
آية رقم 6

Hakika mwanaadamu ni mtovu wa fadhila kwa Mola wake Mlezi!
آية رقم 7

Na hakika yeye mwenyewe bila ya shaka ni shahidi wa hayo!
آية رقم 8

Naye hakika bila ya shaka ana nguvu za kupenda mali!
آية رقم 11

Kuwa hakika Mola wao Mlezi siku hiyo bila ya shaka atakuwa na khabari zao wote!
تقدم القراءة