ترجمة معاني سورة الهمزة باللغة السواحلية من كتاب Ali Muhsin Al - Swahili translation
ﰡ
آية رقم 1
ﭢﭣﭤﭥ
ﭦ
Ali-Humazah
Ole wake kila safihi, msengenyaji!
آية رقم 2
ﭧﭨﭩﭪ
ﭫ
Aliye kusanya mali na kuyahisabu.
آية رقم 3
ﭬﭭﭮﭯ
ﭰ
Anadhani ya kuwa mali yake yatambakisha milele!
آية رقم 4
ﭱﭲﭳﭴﭵ
ﭶ
Hasha! Atavurumishwa katika H'ut'ama.
آية رقم 5
ﭷﭸﭹﭺ
ﭻ
Na nani atakujuvya ni nini H'ut'ama?
آية رقم 6
ﭼﭽﭾ
ﭿ
Moto wa Mwenyezi Mungu ulio washwa.
آية رقم 7
ﮀﮁﮂﮃ
ﮄ
Ambao unapanda nyoyoni.
آية رقم 8
ﮅﮆﮇ
ﮈ
Hakika huo utafungiwa nao
آية رقم 9
ﮉﮊﮋ
ﮌ
Kwenye nguzo zilio nyooshwa.
تقدم القراءة