ترجمة معاني سورة الهمزة باللغة السواحلية من كتاب الترجمة السواحلية - عبد الله محمد وناصر خميس
ﰡ
آية رقم 1
ﭢﭣﭤﭥ
ﭦ
Shari na maangamivu yatampata kila mwenye kusengenya watu na kuwatukana.
آية رقم 2
ﭧﭨﭩﭪ
ﭫ
Ambaye hamu yake ni kukusanya mali na kuyahesabu.
آية رقم 3
ﭬﭭﭮﭯ
ﭰ
Akidhani kuwa mali yake ambayo ameyakusanya yatampa dhamana ya kuishi milele duniani na kuhepa kuhesabiwa.
آية رقم 4
ﭱﭲﭳﭴﭵ
ﭶ
Anavyodhania sivyo. Atatiwa ndani ya Moto ambao huvunjavunja kila kinachotiwa.
آية رقم 5
ﭷﭸﭹﭺ
ﭻ
Lipi lililokujulisha, ewe Mtume, ni upi huo Moto unaovunjavunja?
آية رقم 6
ﭼﭽﭾ
ﭿ
Huo ni Moto wa Mwenyezi Mungu uliowashwa.
آية رقم 7
ﮀﮁﮂﮃ
ﮄ
Ambao kwa ukali wake hupenyeza miilini ukafikia kwenye nyoyo.
آية رقم 8
ﮅﮆﮇ
ﮈ
Moto huo umefungiwa juu yao wakiwa wametiwa minyororo
آية رقم 9
ﮉﮊﮋ
ﮌ
na pingu ndefu ili wasitoke.
تقدم القراءة